1957
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | ►
◄◄ | ◄ | 1953 | 1954 | 1955 | 1956 | 1957 | 1958 | 1959 | 1960 | 1961 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1957 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 6 Machi - Nchi ya Ghana inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 31 Agosti - Nchi ya Malaysia inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1957 MCMLVII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5717 – 5718 |
Kalenda ya Ethiopia | 1949 – 1950 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1406 ԹՎ ՌՆԶ |
Kalenda ya Kiislamu | 1377 – 1378 |
Kalenda ya Kiajemi | 1335 – 1336 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2012 – 2013 |
- Shaka Samvat | 1879 – 1880 |
- Kali Yuga | 5058 – 5059 |
Kalenda ya Kichina | 4653 – 4654 丙申 – 丁酉 |
- 3 Machi - William Pascal Kikoti, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 9 Mei - Beatus Kinyaiya, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 23 Mei - Esterina Julio Kilasi, mbunge wa kike wa Tanzania
- 9 Desemba - Jacob Venance Koda, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 10 Januari - Gabriela Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1945)
- 14 Januari - Humphrey Bogart, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 22 Januari – Ralph Barton Perry (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1936)
- 8 Februari - Walther Bothe (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1954)
- 18 Februari - Dedan Kimathi (kiongozi Mkenya wa Mau Mau; alinyongwa)
- 28 Machi - Jack Butler Yeats (mchoraji kutoka Ireland)
- 21 Juni - Johannes Stark (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1919)
- 5 Agosti - Heinrich Otto Wieland (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1927)
- 18 Agosti - Irving Langmuir (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1932)
- 20 Septemba - Jean Sibelius, mtunzi wa muziki kutoka Ufini
Wikimedia Commons ina media kuhusu: