Guinea
|
|||||
Kaulimbiu ya taifa: Travail, Justice, Solidarité (Kifaransa: Kazi, Haki, Kushikamana) |
|||||
Wimbo wa taifa: Liberté (Uhuru) | |||||
Mji mkuu | Conakry |
||||
Mji mkubwa nchini | Conakry | ||||
Lugha rasmi | Kifaransa (rasmi), Pulaar, Kissi, Kpelle, Kimaninka, Kisusu, Kitoma | ||||
Serikali | Jamhuri Alpha Condé |
||||
Uhuru kutoka Ufaransa |
2 Oktoba 1958 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
245,836 km² (ya 78) kidogo sana |
||||
Idadi ya watu - Julai 2005 kadirio - 2014 sensa - Msongamano wa watu |
9,402,000 (ya 83) 10,628,972 40.9/km² (ya 133) |
||||
Fedha | Guinean franc (GNF ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
GMT (UTC0) (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .gn | ||||
Kodi ya simu | +224
- |
Guinea (pia: Gine, Gini) ni nchi katika Afrika ya Magharibi. Pengine inatajwa kama Guinea-Conakry ili kuitofautisha na nchi za Guinea-Bissau na Guinea ya Ikweta.
Imepakana na Guinea-Bisau, Senegal na Mali upande wa kaskazini, Côte d'Ivoire, Liberia na Sierra Leone kusini halafu Bahari Atlantiki upande wa magharibi.
Eneo lake ni chanzo ya mito mikubwa ya Niger, Senegal na Gambia.
Jina[hariri | hariri chanzo]
Jina la "Guinea" liliwahi kutaja sehemu kubwa ya Afrika ya Magharibi kati ya jangwa la Sahara na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki likimaanisha "nchi ya watu weusi" kwa lugha ya Kiberberi.
Watu[hariri | hariri chanzo]
Makabila yaliyopo nchini ni 24. Kubwa zaidi ni lile la Wafulani (40%).
Lugha rasmi ni Kifaransa, lakini wakazi wanatumia zaidi lugha asilia kadiri ya makabila, hasa Kipular, Kimaninka, Kisusu, Kikisi, Kikpelle na Kiloma,
Upande wa dini, 85% ni Waislamu (hasa Wasuni), 8% ni Wakristo (hasa Wakatoliki) na 7% ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Serikali[hariri | hariri chanzo]
- (Kifaransa) Serikali ya Guinea
- (Kifaransa) Permanent UN Mission of the Republic of Guinea
Habari[hariri | hariri chanzo]
- (Kiingereza) CIA World Factbook - Guinea
- (Kiingereza) BBC News Country Profile - Guinea
Muziki[hariri | hariri chanzo]
- Cora Connection West African music resources
Orodha[hariri | hariri chanzo]
- Open Directory Project - Guinea directory category
- Stanford University - Africa South of the Sahara: Guinea directory category
- The Index on Africa - Guinea directory category
- University of Pennsylvania - African Studies Center: Guinea directory category
- Yahoo! - Guinea directory category
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia |
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Guinea kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |