Guinea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
République de Guinée
Jamhuri ya Guinea
Bendera ya Guinea Nembo ya Guinea
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Travail, Justice, Solidarité
(Kifaransa: Kazi, Haki, Kushikamana)
Wimbo wa taifa: Liberté (Uhuru)
Lokeshen ya Guinea
Mji mkuu Conakry
9°30′ N 13°43′ W
Mji mkubwa nchini Conakry
Lugha rasmi Kifaransa (rasmi), Pulaar, Kissi, Kpelle, Kimaninka, Kisusu, Kitoma
Serikali Jamhuri
Alpha Condé
Uhuru
kutoka Ufaransa
2 Oktoba 1958
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
245,836 km² (ya 78)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
9,402,000 (ya 83)
10,628,972
40.9/km² (ya 133)
Fedha Guinean franc (GNF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC0)
(UTC)
Intaneti TLD .gn
Kodi ya simu +224

-



Guinea (pia: Gine, Gini) ni nchi katika Afrika ya Magharibi. Pengine inatajwa kama Guinea-Conakry ili kuitofautisha na nchi za Guinea-Bissau na Guinea ya Ikweta.

Imepakana na Guinea-Bisau, Senegal na Mali upande wa kaskazini, Côte d'Ivoire, Liberia na Sierra Leone kusini halafu Bahari Atlantiki upande wa magharibi.

Eneo lake ni chanzo ya mito mikubwa ya Niger, Senegal na Gambia.

Jina[hariri | hariri chanzo]

Jina la "Guinea" liliwahi kutaja sehemu kubwa ya Afrika ya Magharibi kati ya jangwa la Sahara na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki likimaanisha "nchi ya watu weusi" kwa lugha ya Kiberberi.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Makabila yaliyopo nchini ni 24. Kubwa zaidi ni lile la Wafulani (40%).

Lugha rasmi ni Kifaransa, lakini wakazi wanatumia zaidi lugha asilia kadiri ya makabila, hasa Kipular, Kimaninka, Kisusu, Kikisi, Kikpelle na Kiloma,

Upande wa dini, 85% ni Waislamu (hasa Wasuni), 8% ni Wakristo (hasa Wakatoliki) na 7% ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Serikali[hariri | hariri chanzo]

Habari[hariri | hariri chanzo]

Muziki[hariri | hariri chanzo]

Orodha[hariri | hariri chanzo]


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia
Africa satellite plane.jpg Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guinea kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.