Uswidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Konungariket Sverige
Ufalme wa Uswidi (Sweden)
Bendera ya Uswidi Nembo ya Uswidi
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: För Sverige i tiden1
(Kiswahili: "Kwa Uswidi, wakati wake")
Wimbo wa taifa: Du gamla, du fria
("Wewe kizee,wewe huru")
Lokeshen ya Uswidi
Mji mkuu Stockholm
59°21′ N 18°4′ E
Mji mkubwa nchini Stockholm
Lugha rasmi None
Kiswidi de facto2
Serikali Ufalme wa kikatiba
Carl XVI Gustaf
Stefan Löfven
Kuungana kwa nchi
{{{established_events}}}
{{{established_dates}}}
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
449,964 km² (55)
8.67%
Idadi ya watu
 - 2014 kadirio
 - 2013 sensa
 - Msongamano wa watu
 
9,716,962 (31 Agosti 2014)

[1] (89)
9,658,301
21.5/km² (195)

Fedha Swedish krona (SEK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .se
Kodi ya simu +46
1 För Sverige i tiden ni wito la mfalme Carl XVI Gustaf
2 Kiswidi ni lugha ya ktaifa hali halisi. Lugha tano zimekubaliwa rasmi kama lugha za vikundi vidogo ndani ya taifa.



Uswidi (au: Sweden; Swideni; kwa Kiswidi: "Sverige") ni nchi ya Skandinavia katika Ulaya ya Kaskazini. Imepakana na Ufini (Finland) na Norwei.

Ina pwani ndefu kwenye bahari ya Baltiki. Kuna daraja la kuvukia mlango wa bahari ya Oresund ya kuunganisha Uswidi na Denmark.

Uswidi ni nchi kubwa yenye wakazi wachache ni milioni 9.7 pekee, wengi wao wenye asili ya makabila ya Kijerumani. Kuna misitu mikubwa sana na maziwa mengi.

Upande wa dini, 67.5% ni Walutheri, lakini 2% tu wanashiriki ibada ya kila wiki.

Mji mkuu ni Stockholm.

Siasa[hariri | hariri chanzo]

Uswidi ni ufalme wa kikatiba yaani Mkuu wa Dola ni mfalme (kwa sasa Carl XVI Gustaf), lakini huyu mfalme anapaswa kufuata sheria ya katiba ya nchi. Utawala umo mikononi mwa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia.

Katika karne ya 20 Uswidi umefaulu vizuri kujenga uchumi ili kuondoka katika umaskini na kuwa moja kati ya nchi tajiri za dunia.

Nchi ilijiunga na Umoja wa Ulaya mwaka 1995 lakini haikukubali pesa ya Euro ikaendelea na Krona ya Uswidi.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Nchi imegawiwa katika mikoa mitatu: Norrland katika Kaskazini, Svealand katikati na Götaland katika kusini.

Hali ya hewa ya sehemu kubwa ya Uswidi si baridi kutokana na athira ya mkondo wa Ghuba. Kuna tofauti kati ya urefu wa mchana katika miezi ya Mei hadi Julai na giza wakati wa Desemba. Tarehe 21 Juni ni siku ndefu: hakuna giza kabisa na usiku wake Waswidi hufanya sherehe kubwa ya "midsommar" kwa ngoma na dansi kote nchini.

Picha za Uswidi[hariri | hariri chanzo]

Wilaya[hariri | hariri chanzo]

Län Herufi Mji mkuu Eneo Ramani
Blekinge län K Karlskrona 2.947 km² SverigesLän2007mKod.svg
Dalarnas län W Falun 28.196 km²
Gotlands län I Visby 3.151 km²
Gävleborgs län X Gävle 18.200 km²
Hallands län N Halmstad 5.462 km²
Jämtlands län Z Östersund 49.343 km²
Jönköpings län F Jönköping 10.495 km²
Kalmar län H Kalmar 11.219 km²
Kronobergs län G Växjö 8.467 km²
Norrbottens län BD Luleå 98.249 km²
Skåne län M Malmö 11.035 km²
Stockholms län AB Stockholm 6.519 km²
Södermanlands län D Nyköping 6.103 km²
Uppsala län C Uppsala 8.208 km²
Värmlands län S Karlstad 17.591 km²
Västerbottens län AC Umeå 55.190 km²
Västernorrlands län Y Härnösand 21.685 km²
Västmanlands län U Västerås 5.145 km²
Västra Götalands län O Göteborg 23.956 km²
Örebro län T Örebro 8.546 km²
Östergötlands län E Linköping 10.645 km²
Jumla 410.977 km²

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Nchi za Umoja wa Ulaya Bendera ya Umoja wa Ulaya
Austria | Bulgaria | Denmark | Estonia | Hispania | Hungaria | Ireland | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituania | Luxemburg | Malta | Poland | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Ufalme wa Muungano | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi
Europa Mapa.png Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Uswidi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.