Guinea ya Ikweta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
República de Guinea Ecuatorial
République de Guinée équatoriale
República da Guiné Equatorial

Jamhuri ya Guinea ya Ikweta
Bendera ya Guinea ya Ikweta Nembo ya Guinea ya Ikweta
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Unidad, Paz, Justicia
(Kihispania: Umoja, Amani, Haki)
Wimbo wa taifa: Caminemos pisando la senda
(Kihispana: Acha tukanyage njia
Lokeshen ya Guinea ya Ikweta
Mji mkuu Malabo
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Mji mkubwa nchini Bata
Lugha rasmi Kihispania, Kifaransa, Kireno
Serikali
Teodoro Obiang Nguema Mbasogo
Vicente Ehate Tomi
Uhuru
Kutoka Uhispania
12 Oktoba 1968
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
28,051 km² (141)
-
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - ? sensa
 - Msongamano wa watu
 
722,254 (150)
haiko
24.1/km² (187)
Fedha CFA franc (XAF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
- (UTC+1)
Intaneti TLD .gq
Kodi ya simu +240 Río Muni

footnotes = -


Jamhuri ya Guinea ya Ikweta (kwa Kiswahili pia: Ginekweta) ni nchi mojawapo ndogo ya bara la Afrika iliyopo upande wa magharibi wa Afrika ya Kati.

Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon upande wa kusini na mashariki, na Ghuba ya Guinea upande wa magharibi, ambapo visiwa vya São Tomé na Príncipe vinapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya Ikweta.

Jina[hariri | hariri chanzo]

Jina la nchi linatokana na kuwa karibu na Ikweta na pia karibu na Ghuba ya Guinea.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Bioko (Guinea ya ikweta) inavyoonekana kutoka Kamerun

Historia[hariri | hariri chanzo]

Ilikuwa koloni la Hispania kwa jina la Guinea ya Kihispania likiwa na maeneo mawili ambayo yalijulikana kama Río Muni (bara na visiwa vidogo kadhaa), na kisiwa cha Bioko ambako uko mji mkuu, Malabo (ambayo iliitwa awali Santa Isabela).

Siasa[hariri | hariri chanzo]

Uchumi[hariri | hariri chanzo]

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Mikoa ya Guinea ya Ikweta

Guinea ya Ikweta imegawiwa katika mikoa 7:

  1. Mkoa wa Annobón (mji mkuu wa mkoa: San Antonio de Palé)
  2. mkoa wa Bioko Norte (Malabo)
  3. Mkoa wa Bioko Sur (Luba)
  4. Mkoa wa Centro Sur (Evinayong)
  5. Mkoa wa Kié-Ntem (Ebebiyín)
  6. mkoa wa Litoral (Bata)
  7. Mkoa wa Wele-Nzas (Mongomo)

Watu[hariri | hariri chanzo]

Lugha[hariri | hariri chanzo]

Ni nchi pekee ya Afrika ambapo lugha ya Kihispania ndiyo lugha rasmi na ya taifa, hasa ukiacha Ceuta na Melilla (maeneo ya Hispania yaliyozungukwa na Moroko) na Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu (nchi-isiyotambulika-kimataifa). Pamoja nacho, Kifaransa na Kireno pia ni lugha rasmi.

Dini[hariri | hariri chanzo]

Wananchi wengi wanafuata Ukristo katika Kanisa Katoliki (87%) na madhehebu mbalimbali ya Uprotestanti (5%). Wanaofuata dini asilia za Kiafrika ni 5%.

Utamaduni[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Habari[hariri | hariri chanzo]

Uchambuzi na Maelekezo[hariri | hariri chanzo]

Koo na Makabila[hariri | hariri chanzo]

  • African Pygmies (Utamaduni na mziki wa watu wa Guinea ya ikwete / picha na ukoo.)

Utalii[hariri | hariri chanzo]

Uchumi[hariri | hariri chanzo]


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia
Africa satellite plane.jpg Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guinea ya Ikweta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.