Guinea ya Ikweta
|
|||||
Kaulimbiu ya taifa: Unidad, Paz, Justicia (Kihispania: Umoja, Amani, Haki) |
|||||
Wimbo wa taifa: Caminemos pisando la senda (Kihispana: Acha tukanyage njia |
|||||
Mji mkuu | Malabo |
||||
Mji mkubwa nchini | Bata | ||||
Lugha rasmi | Kihispania, Kifaransa, Kireno | ||||
Serikali | Teodoro Obiang Nguema Mbasogo Vicente Ehate Tomi |
||||
Uhuru Kutoka Uhispania |
12 Oktoba 1968 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
28,051 km² (141) - |
||||
Idadi ya watu - Julai 2014 kadirio - ? sensa - Msongamano wa watu |
722,254 (150) haiko 24.1/km² (187) |
||||
Fedha | CFA franc (XAF ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET (UTC+1) - (UTC+1) |
||||
Intaneti TLD | .gq | ||||
Kodi ya simu | +240 Río Muni
|
Jamhuri ya Guinea ya Ikweta (kwa Kiswahili pia: Ginekweta) ni nchi mojawapo ndogo ya bara la Afrika iliyopo upande wa magharibi wa Afrika ya Kati.
Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon upande wa kusini na mashariki, na Ghuba ya Guinea upande wa magharibi, ambapo visiwa vya São Tomé na Príncipe vinapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya Ikweta.
Yaliyomo
Jina[hariri | hariri chanzo]
Jina la nchi linatokana na kuwa karibu na Ikweta na pia karibu na Ghuba ya Guinea.
Jiografia[hariri | hariri chanzo]
Historia[hariri | hariri chanzo]
Ilikuwa koloni la Hispania kwa jina la Guinea ya Kihispania likiwa na maeneo mawili ambayo yalijulikana kama Río Muni (bara na visiwa vidogo kadhaa), na kisiwa cha Bioko ambako uko mji mkuu, Malabo (ambayo iliitwa awali Santa Isabela).
Siasa[hariri | hariri chanzo]
Uchumi[hariri | hariri chanzo]
Mikoa[hariri | hariri chanzo]
Guinea ya Ikweta imegawiwa katika mikoa 7:
- Mkoa wa Annobón (mji mkuu wa mkoa: San Antonio de Palé)
- mkoa wa Bioko Norte (Malabo)
- Mkoa wa Bioko Sur (Luba)
- Mkoa wa Centro Sur (Evinayong)
- Mkoa wa Kié-Ntem (Ebebiyín)
- mkoa wa Litoral (Bata)
- Mkoa wa Wele-Nzas (Mongomo)
Watu[hariri | hariri chanzo]
Lugha[hariri | hariri chanzo]
Ni nchi pekee ya Afrika ambapo lugha ya Kihispania ndiyo lugha rasmi na ya taifa, hasa ukiacha Ceuta na Melilla (maeneo ya Hispania yaliyozungukwa na Moroko) na Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu (nchi-isiyotambulika-kimataifa). Pamoja nacho, Kifaransa na Kireno pia ni lugha rasmi.
Dini[hariri | hariri chanzo]
Wananchi wengi wanafuata Ukristo katika Kanisa Katoliki (87%) na madhehebu mbalimbali ya Uprotestanti (5%). Wanaofuata dini asilia za Kiafrika ni 5%.
Utamaduni[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Mawasiliano Guinea ya Ikweta
- Eric Moussambani
- Orodha ya watu maarufu Guinea ya Ikweta
- Jeshi la Guinea ya Ikweta
- Chama cha Skauti Guinea ya Ikweta
- Usafirishaji Guinea ya Ikweta
- Vituo vya Habari Guinea ya Ikweta
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Max Liniger-Goumaz, Udogo siyo urembo : Hadithi ya Guinea ya ikweta (French 1986, translated 1989) ISBN 0-389-20861-2
- Ibrahim K. Sundiata, Equatorial Guinea: Colonialism, State Terror, and the Search for Stability (1990, Boulder: Westview Press) ISBN 0-8133-0429-6
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti rasmi (Kihispania), (Kiingereza)
- makala maalum ya serikali ya Guinea ya Ikweta
- makala ya Elimu Guinea ya ikweta
- makala ya wanasiasa wa upinzani
Habari[hariri | hariri chanzo]
- allAfrica - Equatorial Guinea taarifa ya habari
Uchambuzi na Maelekezo[hariri | hariri chanzo]
- BBC News Country Profile - Guinea ya ikweta
- CIA World Factbook - Equatorial Guinea
- Open Directory Project - Equatorial Guinea maelekezo
- Stanford University – Afrika kusini mwa Sahara: Guinea ya ikweta Maelekezo
- Guinea ya ikweta, Afrika - Ikweta-Guinea
- Chuo kikuu cha Pennsylvania - African Studies Center: Ikweta-Guinea Maelekezo
- Yahoo! - Guinea ya ikweta maelekezo
Koo na Makabila[hariri | hariri chanzo]
- African Pygmies (Utamaduni na mziki wa watu wa Guinea ya ikwete / picha na ukoo.)
Utalii[hariri | hariri chanzo]
- Equatorial Guinea travel guide kutoka Wikisafiri
Uchumi[hariri | hariri chanzo]
- Sahuri za benki, Guinea ya ikweta, from the Fair Finance Watch
- (Uhifadhi wa biashara, guinea ya ikweta) nchini Hispania
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia |
|
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Guinea ya Ikweta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |