Armenia
|
|||||
Kaulimbiu ya taifa: Kiarmenia: Մեկ Ազգ , Մեկ Մշակույթ "Mek Azg, Mek Mshakowyt" "Taifa moja, utamaduni moja" |
|||||
Wimbo wa taifa: Mer Hayrenik ("Nchi yetu") |
|||||
Mji mkuu | Yerevan1 |
||||
Mji mkubwa nchini | Yerevan | ||||
Lugha rasmi | Kiarmenia | ||||
Serikali | Jamhuri Serzh Sargsyan Hovik Abrahamyan |
||||
Uhuru Ilitangazwa Ilitambuliwa Ilikamilika chanzo cha taifa la Armenia kuanzishwa kwa ufalme wa Urartu kuanzishwa kwa ufalme wa Armenia kupokelewa kwa Ukristo Jamhuri ya Armenia |
23 Agosti 1990 21 Septemba 1991 25 Desemba 1991 11 Agosti 2492 KK 1000 KK 600 KK 301 28 Mei 1918 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
29,800 km² (ya 141) 4.71 |
||||
Idadi ya watu - 2005 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu |
3,215,800[1] (ya 1342) 3,018,854 101.5/km² (ya 98) |
||||
Fedha | Dram (AMD ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
UTC (UTC+4) DST (UTC+5) |
||||
Intaneti TLD | .am | ||||
Kodi ya simu | +374
- |
||||
1 Maandishi kwa herufi za Kilatini pia "Erevan", "Jerevan" au "Erivan". 2 cheo kulingana na kadirio ya UM ya 2005. |
Armenia (kwa Kiarmenia: Հայաստան Hayastan au Հայք Hayq) ni nchi ya mpakani kati ya Ulaya na Asia katika milima ya Kaukasi iliyoko kati ya Bahari Nyeusi na Bahari ya Kaspi.
Imepakana na Uturuki, Georgia, Azerbaijan na Iran. Upande wa kusini kuna eneo la nje la Kiazerbaijan linaloitwa Nakhichevan.
Ingawa kijiografia Armenia huhesabiwa mara nyingi kama sehemu ya Asia, kiutamaduni na kihistoria huhesabiwa pia kama sehemu ya Ulaya.
Yaliyomo
Jiografia[hariri | hariri chanzo]
Mlima wa kitaifa wa Armenia ni mlima Ararat unaoaminika kuwa mahali ambako safina ya Nuhu ilikuta nchi kavu baada ya gharika kuu inayosimuliwa katika Biblia.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Armenia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyeti tangu 1920, ikapata uhuru wake tena mwaka 1991. Armenia ni kati ya mataifa ya kale kabisa duniani, ingawa eneo lake limebadilika sana na eneo la sasa ni sehemu ndogo tu ya maeneo yaliyokuwa ya Armenia katika karne na milenia za kale.
Armenia ilikuwa nchi ya kwanza ya kupokea Ukristo kama dini rasmi ya kitaifa mnamo mwaka 301. Hadi leo 93% za Waarmenia ni Wakristo wa Kanisa la kitaifa ambalo ni mojawapo kati ya Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki.
Kuna fitina na nchi jirani ya Azerbaijan kuhusu eneo la Nagorno-Karabakh linalokaliwa na Waarmenia lakini ni sehemu ya Azerbaijan kisiasa. Mipaka hii ni urithi wa zamani za Umoja wa Kisovyeti. Palikuwa na vita kati ya nchi mbili. Hali halisi Armenia inatawala eneo hili ingawa Nagorno Karabakh ilijitangaza kuwa jamhuri ya kujitegemea isiyokubaliwa na umma wa kimataifa.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ De jure population estimate by the National Statistics Service
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- (Kiingereza) na (Kiarmenia) (Kirusi) Tovuti ya serikili
- (Kiingereza) Armenica.org - Complete history of Armenia, covering 800 B.C. to 2004
- (Kiingereza) na (Kiarmenia) (Kirusi) PanARMENIAN.Net - Daily Armenian News
|
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Armenia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Armenia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |