Ufalme wa Muungano
|
|||||
Wito la taifa: "Dieu et mon droit" (Kifaransa) "Mungu na haki yangu" |
|||||
Wimbo wa taifa:
"God Save the Queen" |
|||||
Mji mkuu | London |
||||
Mji mkubwa kushinda miji mingine yote |
London | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali
• Waziri Mkuu wa Ufalme wa Muungano
|
Unitary, Katiba kifalme David Cameron MP |
||||
' |
|||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
243,610 km² (80th) 1.34% |
||||
Idadi ya watu - 2013 kadiriwa - 2011 census - Msongamano wa watu |
64,100,000 (22nd) 63,181,775 255.6/km² (51st) |
||||
Fedha | Pound Sterling (£) (GDP ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
Greenwich Mean Time (GMT) (UTC+0) British Summer Time (BST) (UTC+1) |
||||
Intaneti TLD | .uk | ||||
Kodi ya simu | +44 |
Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini (kwa Kiingereza: United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland); kifupi "Ufalme wa Muungano" Kiing.: United Kingdom) ni nchi ya visiwani ya Ulaya ya kaskazini-magharibi.
Mara nyingi huitwa kwa Kiswahili "Uingereza" tu ingawa nchi ya Uingereza ni moja tu kati ya sehemu za ufalme huo pamoja na Uskoti, Welisi na Eire ya Kaskazini.
Nchi iliongoza mapinduzi ya viwanda duniani, ilenea katika mabara yote kwa makoloni yake mengi ikabaki hadi leo kati ya nchi muhimu zaidi ulimwenguni.
Ni mwanachama mwanzilishi wa Umoja wa Mataifa, ambapo ana kiti cha kudumu na kura ya turufu katika Halmashauri ya Usalama, pia ni mwanachama wa Umoja wa Ulaya.
Upande wa dini, kadiri ya sensa ya mwaka 2011, 59.5% za wakazi ni Wakristo (hasa wa Anglikana, halafu Wakatoliki, Wakalvini na wengineo), 4.4% ni Waislamu, 1.3% ni Mabanyani. 25.7% hawana dini yoyote.
Muungano na utawala[hariri | hariri chanzo]
Bendera | Nchi | Hali | Wakazi | Vitengo | Mji mkuu |
---|---|---|---|---|---|
Uingereza | Ufalme | 50,431,700 | London | ||
Uskoti | Ufalme | 5,094,800 | Edinburgh | ||
Welisi | Utemi | 2,958,600 | Cardiff | ||
Hapana | Eire ya Kaskazini | Jimbo | 1,724,400 | Belfast |
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Nchi za Umoja wa Ulaya | |
---|---|
Austria | Bulgaria | Denmark | Estonia | Hispania | Hungaria | Ireland | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituania | Luxemburg | Malta | Poland | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Ufalme wa Muungano | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi |
|
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ufalme wa Muungano kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |