1947
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | ►
◄◄ | ◄ | 1943 | 1944 | 1945 | 1946 | 1947 | 1948 | 1949 | 1950 | 1951 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1947 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 14 Agosti - Pakistan inatangazwa kuwa nchi huru
- 15 Agosti - Uhindi inatangazwa kuwa nchi huru
- 29 Oktoba - Gazeti la Şalom limeanzishwa mjini Istanbul.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1947 MCMXLVII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5707 – 5708 |
Kalenda ya Ethiopia | 1939 – 1940 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1396 ԹՎ ՌՅՂԶ |
Kalenda ya Kiislamu | 1366 – 1367 |
Kalenda ya Kiajemi | 1325 – 1326 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2002 – 2003 |
- Shaka Samvat | 1869 – 1870 |
- Kali Yuga | 5048 – 5049 |
Kalenda ya Kichina | 4643 – 4644 丙戌 – 丁亥 |
- 15 Januari - Martin Chalfie (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2008)
- 25 Machi - Elton John, mwanamuziki kutoka Uingereza
- 26 Machi - Subhash Kak, mwanafizikia na mwandishi kutoka Uhindi
- 5 Aprili - Gloria Arroyo, Rais wa Ufilipino
- 18 Aprili - James Woods, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 24 Aprili - Roger Kornberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2006)
- 20 Julai - Gerd Binnig (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1986)
- 7 Agosti - Sofia Rotaru, mwimbaji wa Urusi
- 8 Septemba - Amos Biwott, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Kenya
- 1 Oktoba - Aaron Ciechanover, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2004
- 3 Oktoba - Feetham Filipo Banyikwa, mwanasiasa wa Tanzania
- 26 Oktoba - Hillary Clinton, Seneta wa jimbo la New York, Marekani
- 8 Desemba - Thomas Cech, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1989
bila tarehe
- Remmy Ongala, mwanamuziki wa Tanzania
- William Shija, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 12 Aprili - Louis Leipoldt, mwandishi wa Afrika Kusini
- 16 Mei - Frederick Hopkins (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1929)
- 20 Mei - Philipp Lenard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1905)
- 4 Oktoba - Max Planck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1918)
- 7 Desemba - Nicholas Butler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: