Korea Kusini
|
|||||
Kaulimbiu ya taifa: 널리 인간을 이롭게 하라 "Lete faida kwa watu wote" | |||||
Wimbo wa taifa: Aegukga (Wimbo la Taifa) |
|||||
Mji mkuu | Seoul |
||||
Mji mkubwa nchini | Seoul | ||||
Lugha rasmi | Kikorea | ||||
Serikali | Jamhuri Park Geun-hye Jung Hong-won |
||||
Kuundwa kwa Ufalme wa Gojoseon Tangazo la uhuru bado chini ya Japani Ukombozi kutoka utawala wa Japani Jamhuri ya kwanza ilitambuliwa na Umoja wa Mataifa |
3 Oktoba 2333 KKa 1 Machi 1919 15 Agosti 1945 15 Agosti1948 12 Desemba 1948 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
99,646 km² (ya 108) 0.3 |
||||
Idadi ya watu - Julay 2006 kadirio - Msongamano wa watu |
48,846,823 (ya 25) 480/km² (ya 19) |
||||
Fedha | Won ya Korea Kusini (KRW ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
Wakati sanifu wa Korea (UTC+9) -- (UTC+9) |
||||
Intaneti TLD | .kr | ||||
Kodi ya simu | +82
- |
Korea ya Kusini (rasmi: Jamhuri ya Korea) ni nchi ya Asia ya Mashariki iliyopo katika kusini ya rasi ya Korea. Upande wa kaskazini imepakana na Korea ya Kaskazini. Korea zote mbili zilikuwa nchi moja hadi 1945 chini ya utawala wa kikoloni wa Japani. Ng'ambo ya bahari iko Uchina upande wa magharibi na Japani upande wa kusini-mashariki.
Mji mkuu pia mji mkubwa ni Seoul ambako karibu nusu ya wakazi wote huishi ama mjini au katika mazingira yake. Seoul ni kati ya miji muhimu ya biashara na uchumi wa kimataifa.
Korea ni kati ya tamaduni za kale duniani. Tangu maungano ya kitaifa ya Korea yote manmo mwaka 668 KK ilikuwa nchi moja hadi 1910 ilifanywa koloni ya Japani. Uhuru baada ya 1945 ilifuatwa na mgawanyiko wa nchi na kuundwa kwa Korea Kusini. Awali ilikuwa nchi maskini yene uchumi w kilimo lakini iliendelea kuwa nchi ya viwanda iliyofaulu kusogea mbele na kujenga demokrasia imara.
Siku hizi imekuwa moja ya nchi tajiri ya Asia inanafasi ya 13 duniani kati ya mataifa matajiri. Iko kati ya nchi kumi duniani zinazouza bidhaa nyingi nje. Hali ya maisha ni ya juu na viwanda vyake vinatengeneza bidhaa za kisasa kabisa kama motokaa, meli, mashine, vifaa vya kompyuta na mengine.
Dini[hariri | hariri chanzo]
Kiasili watu wa Korea walifuata dini ya jadi iliyoheshimu mapepo mbalimbali na kutoa sadaka kama njia za kuyapatanisha.
Tangu karne ya 4 Ubuddha uliingia kutoka China ukawa dini rasmi. Ukonfusio ulifuata tangu karne ya 13. Ukristo ulingia pia kutoka China ukaanza kukua tangu karne ya 19.
Siku hizi takriban nusu ya Wakorea wa kusini wasema hawana dini. Sehemu kubwa wanakadiriwa kuwa wafuasi wa Konfusio lakini hawajiiti "dini".
Ukristo ni kundi kubwa la kidini ni 29% za Wakorea wa Kusini. Wabuddha ni kama 23 %kunapia wafuasi wachache wa dini mmbalimbali.
Miji[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
- (Kiingereza) Korea.net: Gateway to Korea portal from the KOIS government agency; tovuti rasmi
- Champions of (Tae Kwon Do) the national sport of Korea
- Discover Korea and its cuisine
- Information about Working and Living in South Korea
- South Korean Military Pictures DefenceTalk
- BBC News - Country Profile: South Korea
- Encyclopaedia Britannica, South Korea - Country Page
- CIA World Factbook - South Korea
- Guardian Unlimited - Special Report: North and South Korea
- Korea National Statistical Office
- Korea Peace Network summary of past/current American policy towards Korea
- Library of Congress - Country Study: South Korea data as of Juni 1990
- National Assembly official site
- Open Directory Project - South Korea directory category
- The Blue House official Raisial site
- Tour2Korea operated by Korea National Tourism Organization
- South Korea travel guide kutoka Wikisafiri
- Yahoo! - South Korea directory category
- Yahoo! News - Full Coverage: South Korea
- Galbijim Wiki for expats in Korea
- South Korea main cities satellite views and latitude and longitude coordinates
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |