Nuku'alofa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nuku'alofa ni mji mkuu wa Tonga mwenye wakazi 22,400 (1996). Iko Tongatapu ambayo ni kisiwa kikubwa cha nchi.
Mji ulianzishwa mwaka 1795 pamoja na jumba la kifalme. Mwanzo wa karne ya 19 boma likaongezwa. Imetangazwa kuwa mji mkuu mwaka 1845.
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nuku'alofa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |