10 Agosti
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jul - Agosti - Sep | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1874 - Herbert Hoover, Rais wa Marekani (1929-33)
- 1902 - Arne Tiselius (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1948)
- 1913 - Wolfgang Paul, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1989
- 1984 - Richard Petrus, Mtanzania aliyeshinda katika Big Brother Afrika 2007