1958
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | ►
◄◄ | ◄ | 1954 | 1955 | 1956 | 1957 | 1958 | 1959 | 1960 | 1961 | 1962 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1958 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- Maonyesho ya Dunia mjini Brussels (Ubelgiji)
- 2 Oktoba - Nchi ya Guinea inapata uhuru kutoka Ufaransa.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1958 MCMLVIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5718 – 5719 |
Kalenda ya Ethiopia | 1950 – 1951 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1407 ԹՎ ՌՆԷ |
Kalenda ya Kiislamu | 1378 – 1379 |
Kalenda ya Kiajemi | 1336 – 1337 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2013 – 2014 |
- Shaka Samvat | 1880 – 1881 |
- Kali Yuga | 5059 – 5060 |
Kalenda ya Kichina | 4654 – 4655 丁酉 – 戊戌 |
- 26 Januari - Elluz Peraza, mwigizaji wa filamu kutoka Venezuela
- 17 Juni - Mohamed A. Abdulaziz, mwanasiasa wa Tanzania
- 16 Agosti - Angela Bassett, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 29 Agosti - Michael Jackson (mwanamuziki)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1 Februari - Clinton Davisson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1937)
- 29 Mei - Juan Ramon Jimenez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1956)
- 20 Juni - Kurt Alder (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1950)
- 22 Agosti - Roger Martin du Gard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1937)
- 27 Agosti - Ernest Orlando Lawrence (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1939)
- 9 Oktoba - Papa Pius XII
- 15 Desemba - Wolfgang Pauli (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1945)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: