Guinea Mpya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mahali pa Guinea Mpya duniani
Guinea Mpya

Guinea Mpya bi kisiwa kikubwa katika Pasifiki upande wa kaskazini ya Australia. Ni kisiwa kikubwa cha pili duniani baada ya Greenland.

Eneo la kisiwa limegawiwa kati ya mataifa mawili:

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lote la kisiwa ni 829,200 km² na jumla ya wakazi ni milioni 5.2 (2004).

Kuna milima mikubwa; upande wa Indonesia ni milima ya Maoke (Puncak Jaya 4,884 m juu ya UB) na upande wa Papua Guinea Mpya ni milima ya Bismarck (Mount Wilhelm 4,509 m juu ya UB). Mto mrefu kisiwa ni Fly.


Sciences de la terre.svg Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guinea Mpya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.