1995
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1991 | 1992 | 1993 | 1994 | 1995 | 1996 | 1997 | 1998 | 1999 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1995 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 30 Julai - Nchini Kenya, wazee Wakikuyu na wazee Wakalenjin, baadhi yao wabunge hamsini na wawili, wanatangaza mapatano ya amani.
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
Kalenda ya Gregori | 1995 MCMXCV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5755 – 5756 |
Kalenda ya Ethiopia | 1987 – 1988 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1444 ԹՎ ՌՆԽԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1416 – 1417 |
Kalenda ya Kiajemi | 1373 – 1374 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2050 – 2051 |
- Shaka Samvat | 1917 – 1918 |
- Kali Yuga | 5096 – 5097 |
Kalenda ya Kichina | 4691 – 4692 甲戌 – 乙亥 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1 Januari - Eugene Wigner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963)
- 18 Januari - Adolf Butenandt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939)
- 1 Machi - Georges Köhler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1984)
- 8 Machi – Paul Horgan (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1955)
- 14 Machi - William Fowler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983)
- 2 Aprili - Hannes Alfven (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1970)
- 14 Mei - Christian Anfinsen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 25 Juni - Ernest Walton (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1951)
- 21 Agosti - Subrahmanyan Chandrasekhar (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1983)
- 6 Desemba – James Reston (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1945)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: