10 Februari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jan - Februari - Mac | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | ||||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 1258 - Anguko la Baghdad: jeshi la Wamongolia lateka mji na kumaliza himaya ya khalifa wa Waabasiya; raia 800,000 wauawa na maktaba mashuhuri yaharibika
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1890 - Boris Pasternak (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1958)
- 1897 - John Enders (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954)
- 1902 - Walter Brattain (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1956)
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 1829 - Papa Leo XII
- 1837 - Aleksander Pushkin, mwandishi kutoka Urusi
- 1918 - Ernesto Teodoro Moneta (mwandishi Mwitalia, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1907)
- 1923 - Wilhelm Conrad Röntgen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1901)
- 1939 - Papa Pius XI
- 1992 - Alex Haley, mwandishi kutoka Marekani