Uchongaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mfalme Daudi alivyochongwa na Michelangelo katika marumaru labda ni sanamu maarufu zaidi duniani; iko katika Galleria dell'Accademia (Italia).
Uchongaji, sehemu ya kigae katika Campanile di Giotto huko Firenze (Italia).

Uchongaji ni aina mojawapo ya sanaa ambayo inatengeneza umbo la kupendeza kutokana na vitu rafu, kama vile mawe au mbao.

Sanaa hiyo ni ya zamani sana, lakini inazidi kuona njia mpya.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: