Belo Horizonte

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Belo Horizonte

Bendera
Anwani ya kijiografia: 19°55′09″S 43°56′19″W / 19.91917°S 43.93861°W / -19.91917; -43.93861
Nchi Brazil
Kanda Southeast
Jimbo Minas Gerais
Idadi ya wakazi
 - 2,452,617
Tovuti: www.belohorizonte.mg.gov.br

Belo Horizonte ni jina la mji mkuu wa jimbo la Minas Gerais katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 5.4 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 852 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Map of Brazil with flag.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Belo Horizonte kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.