IQNA

Umoja wa Mataifa wakosolewa kwa kutojali jinai za Saudia dhidi ya watoto wa Yemen

TEHRAN (IQNA)- Watoto wa Yemen wamelaani vikali uungaji mkono wa Umoja wa Mataifa kwa muungano vamizi wa Saudia baada ya umoja huo kukataa kukosoa Saudia...

Klipu ya Mkuu wa Diyanet, Uturuki akiadhini Bulgaria

TEHRAN (IQNA)- Ali Erbas Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini Katika Ofisi ya Rais wa Uturuki (Diyanet) hivi karibuni aliadhini akiwa ameandamana na Qarii...

Filamu ya Matukio ya kweli ya ''Katika Magwanda ya Askari" yazinduliwa Tanzania

TEHRAN (IQNA)- Filamu ya matukio ya kweli inayojulikana kama "'Katika Magwanda ya Askari" iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kiswahili imezinduliwa hivi karibuni...

IRIB yalaani uamuzi wa Marekani kuteka tovuti za kimataiza za habari za Iran

TEHRAN (IQNA)- Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) limetoa taarifa na kulaani hatua ya tovuti zake kadhaa na za mrengo wa muqawama...
Habari Maalumu
Ongezeko la asilimia 20 la Misahafu inayochapishwa nchini Iran

Ongezeko la asilimia 20 la Misahafu inayochapishwa nchini Iran

TEHRAN (IQNA)- Kumekuwa na ongezeko la asilimi 20 la Misahafu iliyochapishwa nchini Iran katika mwaka huu wa Kiirani wa Hijria Shamsia ulioanza Machi 21.
23 Jun 2021, 17:44
Maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru yaendelea Nigeria

Maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru yaendelea Nigeria

TEHRAN (IQNA)- Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano nchini humo wakitaka kuachiwa huru...
23 Jun 2021, 17:32
Msikiti Mkongwe Uturuki ambao hauna paa +Picha

Msikiti Mkongwe Uturuki ambao hauna paa +Picha

TEHRAN (IQNA)- Kuna msikiti mkongwe nchini Uturuki ambao hauna paa na hivyo mbali na kuwa ni eneo la ibada sasa pia ni kivutio cha utalii.
23 Jun 2021, 18:37
Sherehe ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS yafanyika nchini Kenya

Sherehe ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS yafanyika nchini Kenya

TEHRAN (IQNA)- Sherehe ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS imefanyika nchini Kenya katika Kituo cha Kiislamu cha Jaafari mjini Nairobi kwa himaya ya Kituo...
22 Jun 2021, 15:55
Waislamu Kenya walalamika baada ya Saudia kuzuia Hija

Waislamu Kenya walalamika baada ya Saudia kuzuia Hija

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa Kenya wamebainisha malalamiko yao baada ya kubainika kuwa hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudi Arabia...
22 Jun 2021, 14:02
Muqtada Sadr ataka kuwepo mazungumzo baina ya Iran na Saudia

Muqtada Sadr ataka kuwepo mazungumzo baina ya Iran na Saudia

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi mwandamizi wa Kiislamu nchini Iraq Sayyid Muqtada al Sadr ametoa wito kwa Iran na Saudi Arabia kutatua hitilafu zao kupitia mazungumzo.
22 Jun 2021, 14:14
Imam Ridha AS, alim mwenye fadhila na ubora wa kimaanawi

Imam Ridha AS, alim mwenye fadhila na ubora wa kimaanawi

TEHRAN (IQNA)- Tuko katika kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Ridha AS, mmoja kati ya Watu wa Nyumba ya Mtume Muhammad SAW.
21 Jun 2021, 20:32
Rais Mteule Rais azungumza na waandishi habari kuhusu sera za serikali yake

Rais Mteule Rais azungumza na waandishi habari kuhusu sera za serikali yake

TEHRAN (IQNA)- Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza na waandishi habari kuhusu sera za kitaifa na za kimataifa za serikali yake
21 Jun 2021, 18:40
Jumuiya ya kupinga uhusiano na Israel yaanzishwa Sudan

Jumuiya ya kupinga uhusiano na Israel yaanzishwa Sudan

Vijana wa Sudan wameanzisha Jumuiya ya Kuunga Mkono Msikiti wa Al Aqsa na Kupinga Uanzishwaji Uhusiano wa Kawaida na Utawala wa Kizayuni wa Israel.
21 Jun 2021, 20:10
Sherehe katika mkesha wa kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS

Sherehe katika mkesha wa kukumbuka kuzaliwa Imam Ridha AS

TEHRAN (IQNA)- Sherehe inayojulikana kama Naqqareh Zani imefanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha AS, katika mji wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa...
21 Jun 2021, 18:11
Raeisi aendelea kupongezwa na viongozi wa dunia baada ya ushindi katika uchaguzi wa rais Iran

Raeisi aendelea kupongezwa na viongozi wa dunia baada ya ushindi katika uchaguzi wa rais Iran

TEHRAN (IQNA) - Viongozi mbali mbali duniani wanaendelea kumtumia salamu za pongezi Sayyid Ebrahim Raeisi kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa rais...
20 Jun 2021, 18:11
Sayyid Nasrallah ampongeza Sayyid Raeisi kwa ushindi uchaguzi Iran

Sayyid Nasrallah ampongeza Sayyid Raeisi kwa ushindi uchaguzi Iran

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza Sayyid Ebrahim Raeisi kufuatia ushindi wake katika uchaguzi...
20 Jun 2021, 18:02
Saudia imeazimia kuwanyonga vijana 40 walioshiriki maandamano ya amani

Saudia imeazimia kuwanyonga vijana 40 walioshiriki maandamano ya amani

TEHRAN (IQNA)- Wanaharakati wa haki za binadamu wameonya kuwa, utawala wa Aal-Saud unapanga kuwanyonga makumi ya vijana Waislamu wa madhehebu ya Shia mkoani...
20 Jun 2021, 18:21
Wananchi wa Iran ndio washindi wakuu wa uchaguzi
Kiongozi Muadhamu

Wananchi wa Iran ndio washindi wakuu wa uchaguzi

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza hatua ya kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi mkuu wa jana Ijumaa...
19 Jun 2021, 19:01
Sayyed Ebrahim Raeisi achaguliwa kuwa rais mpya wa Iran

Sayyed Ebrahim Raeisi achaguliwa kuwa rais mpya wa Iran

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kumalizika zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa 13 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran imetangaza...
19 Jun 2021, 19:09
Ujumbe wa Rais Rouhani baada ya wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi

Ujumbe wa Rais Rouhani baada ya wananchi wa Iran kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi kumepelekea taifa la Iran lipate ushindi katika...
19 Jun 2021, 18:55
Picha‎ - Filamu‎